'
Sura iliyotangulia

“Yesu Kristo ni Yeye yule jana, leo na hata milele” (Waebrania 8:13)

BARUA YA MUZUNGUKO Aprili 2012

Toleo la yubili

Wandugu wapendwa na wadada katika Kristo, 

ninawasalimu kwa upendo mingi katika Jina la Damani la Bwana Yesu Kristo kupitia Neno la Waefeso 3:3, 4 ikinielekea kwa kilindi na kwa waamini wa kweli wa wakati yetu: 

Ni kwa ufunuo nilipokea ujuzi wa siri ambayo nimetoka kuandika kwa maneno machache. Kwa kuisoma munaweza kutambua akili ambayo nilipata ya ujuzi wa Kristoǃ”. 

Mutume Paulo alitumikisha kila wakati iliyo onekana kwake kwa kuleta ile ambayo alikuwa amefunuliwa, hata pia asubuhi sana mupaka wakati ya nyuma jioni (Matendo ya Mitume 28:23). Kwa hiyo ile ambayo aliyo andika ilikuwa kwa ufupi sana. wakati moja aliweza kuhubiri hata mpaka usiku kati, nyuma ya hapo anavunja pia mukate akiendelea kuzungumuza mpaka asubui (Matendo ya Mitume 20:7-12). Ndugu Branham pia alihubiri mahubiri marefu, ambayo kwa uheri iliweza kurikodiwa kwenye kanda za sumaku. Nyuma ya kufa kwake mahubiri hayo yaliandikwa kule Jeffersoniville kufuatana na ombi langu, kwa uongozi ya Roy Borders. Tuna pata shahuri yote ya Mungu katika hiyo mahubiri. Kama vile Paulo, ninaweza pia shuhudiaya kama nillipata ujuzi wa siri ya Kristo kupitia ufunuo. Kwa musaada ya Mungu, ninatumikia Bwana muchana na usiku zaidi ya nusu karni, nikisafiri kwa kuhubiri na kuandika. 

Yote ambayo Bwana anafunuwa kwa mumoja wa watumishi wake, kila mara inahusu watumishi wote wa Kristo na kwa kanisa lote. Paulo alizungumuza kuhusu siri ya Kristo kama vile imefunuliwa pia kwa Roho kwa watakatifu wamitume na manabi wa Kristo (shahiri ya 5 na ya 6). Ni mutume Yoane kwenye kisanga cha Patmosi akapokea ufunuo wa Yesu Kristo ulio tayarishiwa kwa watumishi wote wa Mungu (Ufunuo 1:1-3). Siku ambazo nilipita kwenye kisanga cha Patimosi kwa mwaka wa 1980, katika maombi na kwa kusoma hizo sura 22 za ufunuo, zilikuwa baraka tele kwangu. 

Sura inayofuata