Sura iliyotangulia

MASWALI ZILIZO WEKWA MBELE YA NDUGU EWALD FRANK KUTOKA KWA WA HUDMU WA INCHI TOFAUTI

Tena haimpasi mtumwa wa Bwana kuwa mgonvi; baali kuwa mpole kwa watu wote, awezae kufundisha, mvumilivu; akiwaonya kwa upole wanaoshindana naye, ili kama ikiweza kana Mungu awape kutubu na kuijua kweli; wapate tena fahamu zao na kutoka katika mtego wa ibilisi, ambao hao wametegwa naye hata kuyafanya mapenzi yake. (2. Timotheo 2:24-26)

Kwa ufafanuzi huu tuna shughulika na Uzima na kifo. Katika Neno muna Uzima, katika matafsiri muna kifo. Kila tafsiri ni mtego ambao adui anaweka kwenye shingo la watu. Yeye si kila wakati hakazi pua mara moja, lakini anaacha watu wale wakiwa wafungwa na kuwafanya watumwa wa mapenzi yake, kama vile andiko lilianza onesha wazi wazi.

Tangu nilipo kuwa katika kazi ya Mungu kwa nusu karne ni mewekwa ndani tumaini na wandugu katika hudma ulimwenguni pote kwa neema ya Mungu. Walitambua kwamba Mungu aliniweka ili kuchukuwa injili ya milele katika mataifa yote ya ulimwenguni. Baada ya hudma ya Ndugu Branham ni uajibu wangu wa kugawa Neno la kweli la Mungu pamoja na watu wa Mungu pamoja na watumishi wote waaminifu kama vile ilivyo kuwa katika siku za BWANA wetu na nyakati za kimitume na manabii,ndivyo pamoja na Ujumbe leo, “…katika nyaraka hizo yamo mambo ambayo ni vigumu kuelewa nayo; na mambo hayo watu wasiyo na elimu, wasio imara, huyapotoa kama vile waya potoavyo na maandiko mengine kwa uvunjifu wao wenyewe“(2. Petro 3:16). Hivi ndivyo imekuwa katika nyakati zote. Matafsiri tofauti yame sababisha magawanyiko mengi, na muvurugano wa kimafundisho, na hata katika ujumbe wa wakati. Wahudmu wanaohusika kikweli na mambo ya kiroho ya watu wa Mungu, hawana haja tena ya kukubali hali ya sasa na wanauliza ufafanuzi kuhusu mambo mbali mbali. Watoto wa kweli wote wa Mungu wana haki na itaji yakujua majibu yaliyo ya kweli yanayo simamia kwa ukweli wa maandiko matakatifu. Nili mjua Ndugu Branham kipekee na mimi ni mushuda wa hudma yake ya kimaajabu.

Kwa mwezi wa Ogasti,1955 nilihuzuria mikutano yake kwa juma yote. Kutoka Septemba 1958, nili anza kupokea makanda za mahubiri aliyo ya hubiri huko Marekani kupitia Baruwa na kuanza kuzitafsiri katika lugha ya Kijerumani kwa mara na mara. Kwa Disemba, 1962, nilipo kuwa na mazungumuzo ya kipekee na Ndugu Branham, nili mueleza namna ninavyo fanya hii, ni lipo tumikisha vifaa vya kichwa kwa kusikiliza mahubiri na kuyatafsiri katika lugha ya Kijerumani kwa ajili ya mukutano uliyo kusanyika. Kwa mwaka wa 1963 alikumbuka hii na kuliongelea,

“Hudma ya kanda ni jambo la ulimwengu, mahali pote. Nafikiri kwamba hiyo ninjia ambao Mungu amepata kwa ajili ya kusambaza ujumbe kwenye ardhi za mataifa hapo nyuma, na kurudishwa mahali linastahili kutafsiriwa katika Ujerumani. walipata makanda, kwenye makundi zao za mamia na mamia za watu; wanaweka vitu kidogo kwenye masikio yao, wana weka kanda. Kama vile ninavyo ongea muhudmu anasimama hapo na kufanya sawasawa, katika lugha nyingine, na kuileta mbele ya mamia. Na mamia wanaokoka na kupona kupitia kwa njia ya makanda zinazo zunguka ulimwenguni. Yote katika kingereza, lakini zinatafsiriwa katika lugha nyingi, tofauti (Ulaya) katika makabila (Afrika ya kusini) duniani pote. Tuna sikia kutoka wao, nyuma hapo kupitia Barua pepe“ (Ushuhuda, Shreveport, LA, V-17-N-5; Alhamisi, 63-11-28). Ni wazi kwamba ndugu Branham alikuwa akisema kuhusu kwa ndugu Sidney Jackson katika Afrika ya kusini na kwangu, kwamba sisi pekee ndiyo tulikuwa tukitafsiri mahubiri yake kwa wakati huo.

Katika myaka makumi ine na saba iliyo isha, ni lisoma na kusikiliza mahubiri yake maranyingi na kuzitafsiri, hapo sasa nina weza kusema ya kwamba ninajua Ujumbe wa wakati wa mwisho kuliko wengine wote. Nimekuwa karibu sana pamoja na Neno la Mungu, maandiko matakatifu, tangu siku za ujana wangu. Kwa kweli ni wa chungaji wachache wanao uliza“Maandiko yana sema nini?“. Wakati wanapo ni uliza maswali hizi wana nijalia, kwa kuwa majibu ni nazo zitoa nilazima ziwe zikilingana na maaandiko ya Neno la Mungu, ambayo ina dumu milele (Isaya 40:8, 1. Petro 1:23).

 

 

Swali 1a 1: Musimamo wako ni gani kuhusu hudma ya Ndugu Branham?

Swali la 2: Nimaneno gani halisi iliyompewa Ndugu Branham kwa utume wake?

Swali la 3: Maoni yako ni gani kuhusu Ujumbe wa wakati wa mwisho?

Swali la 4: Jee, unamkosoa Nabii kwa jambo Fulani?

Swali la 5: Yakini yako ni gani, Biblia ao Ujumbe?

Swali la 6:   Jee, unafundisha tofauti na yale ambayo Ndugu Branham alifundisha?

Swali la 7: Jee, unaami kufunuliwa kwa mihuri saba?

Swali la 8: Muhuri wa saba Umefunuliwa?

Swali la 9: Unaamini ya kwamba Ufunuo 10:1-7 ilitimia kwa mwaka wa 1963?

Swali la 10: Unaamini ya kwamba ngurumo saba zime funuliwa kwa Ndugu Branham?

Swali la 11: Kwa nini Ndugu Branham aliongea mara nyingi kuhusu“Mvuto wa Tatu“?

Swali la 12: Kwanini Ndugu Branham mara nyingi alijilinganisha na Ufunuo 10:7?

Swali la 13: Unaamini hudma ya mujumbe wa munane?

Swali la 14: Unaami fundisho la Parousia?

Swali la 15: Jee, mwana wa Adamu kulingana na Luka 21:27, amekwisha kuja?

Swali la 16: Nivipi na hudma yako, imeshuhudiwa katika Biblia?

Swali la 17: Jee, unahubiri mahubiri ya Ndugu Branham?

Swali la 18: Chakula chakiroho ni gani, Je ni mahubiri ya Ndugu Branham ao Biblia?

Swali la 19: Ninani atakae lionyesha kanisa la wa wakati wa mwisho kwa BWANA?

Swali la 20: Unajikamata namna gani kwa wale wanao zihaki jina lako?

Swali la 21: Jee, Ndugu Branham alifundisha kuowa wake wengi?

Swali la 22: Unafundisha je kuhusu ndoa na talaka?

Swali la 23: Jee, ni vipi kuhusu yale yanao husu familia ya mutumishi wa Mungu?

Swali la 24: Ninamna gani kuhusi “Kitabu cha Nyakati saba za kanisa“?

Swali la 25: Jee, Muda za Nyakati za kanisa zilimfunuliwa Ndugu Branham?

Swali la 26: Jee, Ndugu Branham alitabiri kwamba mwisho wa Dunia ni katika waka 1977?

Swali la 27: Jee, Ndugu Branham aliona kalenda inayoisha kwa mwaka wa 1977?

Swali la 28: Jee, ubatizo wa Roho mtakatifu ni sawa sawa na kuzaliwa upya?

Swali la 29: Ni vipi kuhusu ano La Ndugu Branham katika hema?

Swali la 30: Jee, kitu chochote kilicho onyeshwa katika ono chaweza kubaki pasipo utimilifu?

Swali la 31: Twaweza kulinganisha namna gani kati ya Israeli na Kanisa?

Swali la 32: Kulingana na mpango wa Okuvu tuko katika sehemu gani?

 

Wandugu wapendwa katika BWANA,
Watoto wa Mungu wapendwa,

Ningependa ni seme wazi wazi ya kwamba: Hairuhusiwe kuweka fundisho yenye inasimamia kwa andiko moja la kibiblia, ao Msemo moja ya BWANA wetu, ao Nabii ao mtume. Ni lazima mbele ya Mungu, kwamba Neno lolote, lina pashwa kusimamia kwa ushuhuda wa watu wawili ao tatu, ao kwa ushuhuda mbili ao tatu ya maandiko ya kibiblia (Kumbukumbu 19:5). Hatuna injili moja tu, ila injili ine zinazo jazana moja kwa nyingine. Kwa mfano mtu asiye weza chukuwa utaratibu ya utume kwa ujao wake ginsi inavyo andikwa katika Mathayo 28:18-20, Marko 16:15-20, Lk 24:33-53, na Yohana 20:19-31, kwa ujao. Hapo kama mutu hatachukuwa hiyo hatimize utume wake kwa ujao. Na mwenye haongeze kwa hii utaratibu wa utume, Matendo 2:38 hata na maandiko nyingine yanayo onyesha namna gani hii inapashwa fanyika, naye hana ujao kwa uwingi kuhusu jibu la kweli kuhusu ubatizo wa kweli katika maji. Yeyeto anaye itajikujua kila kitu kuhusu kuzaliwa, Maisha, hudma, mateso na kifo, pia na hata kuhusu ufufuko na Kupanda mbiguni kwa BWANA wetu, na mkombozi anastahili kusoma hizo injili 4 zote. Na mwenye anataka kujua ya kwamba baada ya Ufufuko wa BWANA wetu ginsi alifundisha wanafunzi wake muda wa siku makumi ine kuhusu ufalme wa mbingu mbele ya kupanda kwake mbinguni, naye anapashwa soma matendo 1:1-3. Hapo tunakuta mambo ambayo haiku semeka katika injili ine: kwa mfano kwamba wakati alipanda mbinguni wingu lili mpokea (Matendo 1:9) kwa shahili 11, tunaambiwa kwamba atarudi akivaa mwili vilevile ginsi alivyo kwenda mbinguni (Luka 24:50-51). Katika 1. Yohana 3:2 inasemeka: „…tuta fanana naye kwa maana tutamwona ginsi alivyo“. Amena.

Yeyeto anaye kuwa naitaji ya kuelewa kuhusu kugeukia kwa Paulo kwa utume wake na hudma yake, hapashwi kusoma Matendo 9 pekee yake, ila ina mbidi tena kusoma na sura 22 na 26 ili aweza kuelewa tena zaidi. Anapashwa soma tena 1. Wakoritho 15:1-11 kwa sababu hakukuwa Petro baali alikuwa Paulo ambae alie onyesha kwamba baada ya ufufuko wa BWANA Yesu alionekana kwa wandugu zaidiya 500 kwa wakati moja kutoka mifano hizo tunao na vema kwamba haitoshi kutumia tu andiko moja, baali tunaweza kuongezea maadiko mengine yote ambayo yana husika na somo hiyo.

Maonyo haya onekani tena katika 2. Wakoritho 11:1-4, akisema kwamba wakati shetani, nyoka wa kale alimushawishi Hawa (Mwanzo. 3:1); aliongeza neno moja kwayale ambao BWANA Mungu alikuwa ameagiza Adamu, neno“hamta“hivyo ndivyo alivyo leta Hawa chini ya ushawishi wake wa hapohapo, na akageuka kuwa mfugwa wa mapenzi yake. Adui kila wakati analetaka mabishano kuhusu neno ambaye BWANA alisemaka mbele, lakini na hawezi kushika neno hilo na hawezi kudumu katika kweli ya Neno la kimsingi. Mungu alikuwa amesema “Utakula miti yote ya Bustani kwabure…“ Adui alipanda mashaka akisema: „Nini, Mungu alisema, msikule mti yote ya Bustani?“

Hiyo neno moja iliyo ongezwa kwa yale ambayo Mungu alisema ndiyo ilikuwa sumu ya kidonda cha nyoka. Hapo ndipo ndoa ya kwanza ya kimwanadamu ilivyo achiliwa kwenye mauti, na kutengwa na Mungu. Kwanza ni mwana wa mtu anaye panda Mbegu njema ya Neno la Mungu badaye adui anafwata nyuma akipanda mbengu mbaya kupitia matafsiri (Mathayo 13). Hivyo ndivyo anavyo shika watu mateka na kuwa weka chini ya mapenzi yake. Hii ndiyo wakati ya watu ya Mungu kufunguliwa kutoka katika mitego ya Yule adui na kurudishwa katika mapenzi ya Mungu. Upotevu yoyote inayo aminiwa inatokana na Neno ambalo linalo ongezwa kwa maandiko na kuligeuza, na kulitafsiri vibaya. Nandio sababu ya arifa hii inayo omba kushika kwa makini ya kutoongeza chochote ama kupunguza chochote kwa maneno ya unabii wa kitabu hiki (Ufunuo 22:18-19). Kama sivyo matokeo ya hiyo itaendelea kuwa upotevu.

Kwa kila swali la Kibiblia na kwa kila somo, kuna jibu moja tu la kweli linalo patikana katika maandiko inayo husu. Matafsiri tofauti nikazi ya adui-matokeo ya kula ku muti wa kujua mema na mabaya. Jambo hiyo moja imegusa kwa uwingi wa watu na mafundisho tofauti yenye inapati kana katika ya Ujumbe wa wakati wa mwisho. Kama tuna weza rudisha kila kitu kwenye maandiko matakatifu tuta kutana humo jibu moja ya kweli, na kutoelewa kutaisha. Angalisho ni kwa wa hudmu na makutano yote wanastahili kuwa macho na kurudi kwa hatua moja kwa heshima yote kwa neno la Mungu, lililo yakini ya mbingu na dunia. Katika mahubiri marefu ya Ndugu Branham ambayo aliyo hubiri“ Neno lililo nenwa ndiyo mbegu halisi“ya siku (Machi, 18, 1962), ambaye sisi wote tulisikiliza zaidi ya saa sita, tuna ona ginsi mtu wa Mungu alipatia utawala Neno la Mungu. “…ikiwa hawa semi sawa sawa na neno hili, bila shaka kwa hao hawana asubui“ (Isaya. 8:20).

Tuna kubalishwa kwamba kuna masomo magumu katika Neno la Mungu, na hata pia katika Ujumbe, masomo ambayo tunastahili kuweka katika utaratibu wa Kimungu. Kwa mufano, wakati BWANA wetu alisema: „…kwa maana hamtaimaliza miji ya Israeli, hata aja po mwana wa Adamu“ (Mathayo 10:23). Alisema tena“Akawaambia, amina, nawa ambia, pana watu katika hawa wasimamao hapa ambao hawataonja mauti, hata wata kapo uona ufalme wa Mungu umekuja kwa nguvu“ (Marko 9:1). Tuna stahili kuangalia maneno haya katika mahali pake katika mupango wa okovu kwa utimilifu wake. Torati na manabii zilikuweko mpaka Yohana (Luka 16:16), tangu wakati huo ndipo ufalme wa Mungu ulihubiriwa. Siku ya pentekoste ufulme huo ulishuka na nguvu, kama vile ilivyo kuwa imetangazwa na Yohana mbatizaji katika Mathayo 3:2 na BWANA wetu katika Mathayo 4:17: Tangu wakati huo kanisa lilizaliwa na lilipokea maisha ya kiroho, na Mkombonzi alie tukuzwa alitembea katikati yao. Katika Ufunuo 1. Yohana aliona Mwana wa Adamu katika kanisa lake, akionyeshwa kwenye vinara saba vya taa.

Kwa wa kati wake Paulo alijiweka ndani yeye mwenyewe akisema, „Angalieni, niwaambia ninyi siri; hatuta lala sote, lakini sote tuta badilika.“ (1. Wakoritho 15:51). Sasa tunangoja utimilifu. Mtume Petro alipana arifa ya kutochanganya maandiko na masemi ya Mtume Paulo, akisema kwamba kuna mambo mengi yaliyo magumu kuyaelewa (2. Petro 3:15-16). Hakuna mtu anaye ruhusiwa kutafsiri na kufanya fundisho kwa yale maneno Ndugu Branham yaliyo kuwa magumu kuyaelewa. Alisema, kwa mfano, „Baada ya kuvunjwa kwa mihuri na siri itafunuliwa, Malaika akashuka, mjumbe, Kristo, na akaweka mguu yake juu ya nchi na Bahari na akiwa na upinde juu ya kichwa chake. Sasa, kumbukeni, huyu Malaika wa saba iko duniani kwa wakati wa kuja kwake“. Ndugu Branham alipokuwa duniani, ndipo „Malaika wa agano“alijifunua yeye mwenyewe katika wingu kubwa la kimaajabu. Nukuu: „Huyo Malaika mkuu wa Agano, Yule alikuwa pamoja na Musa jangwani Yule alie mkuta Paulo katika njia ya kwenda Damasiki, aliruhusu picha yake iweze kushikwa nasi; Yule alieonekana katika picha ya «Life Magazine» iliyo tangaza. Ni ile neno ya Yule Mungu“ (Kristo ndiye siri ya Mungu iliyo funuliwa (Pg 92).

Alisema tena: „Nahapa anarudi kwa sura ya 10 baada ya kuja kwake…“ Neno hili lamaanisha nini „Baada ya wakati wa kuja…“ inalinganisha kuja kwa aina gani? Na inamaanisha nini na „anakuja kwa sura ya 10 baada ya wakati wa kuja“ na mengineyo? Kwa dakika kidogo nyuma, Ndugu Branham alisema: „Amechukuwa Bibi arusi mtaifa na atamuchukuwa kwa nyumba ya mufalme, kwa nyumba ya baba yake katika utukufu, kwa ajili ya ndoa na sasa atashuka akija kujionyesha kwa wandugu wake 144, 000“. Enyi wahubiri na wa sihi ili mufanye angalisho kuhusu masemi haya, muya weke kwa nafasi inayo stahili kulingana na yale matukio na wakati yazo, na muache kuleta maoni yenu binafsi!kwa maana hakuna andiko ao fundisho la Mtume Paulo ao ya Ndugu Branham, linayo ruhusiya mtu kutafsiri ginsi anavyo taka. Mungu ndie mtafsiri wake mwenyewe na anakesha kwa Neno lake ili ayatimize yale aliyo ya ahidi. Taifa la Mungu lingeliweza kusimamisha kuamini matafsiri yanayo zunguka! Kanisa-bibi arusi inapashwa kurudishwa kwa hatua kamili, ililiweze kutembea katika umoja wa hatua ya kila Neno la Mungu! mbele ya kurudi kwa BWANA-Arusi, kwa kuwa wakati ni karibu saa ya maamzi imekuja.

Sura inayofuata